November 04, 2013

HONGERA MDAU WETU WA WILAYA YA NYASA

VITUS MATEMBO ametunukiwa shahada yake ya kwanza ya chuo kikuu aliyohitimu karibuni na sherehe kufanyika huko Moshi, mkoani Kilimanjaro. Tunamtakia mafanakio mema na ataendelea kutuhabarisha mambo mengui kuhusu Wilaya ya Nyasa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako