June 27, 2014

RADIO CONSULT LIMITED



RADIO CONSULT LTD

Ni kampuni inayotoa huduma za ushauri wa kitalaamu kwa masuala ya radio. Moja ya huduma tunazotoa ni kama ifuatvyo:-
Tunatoa huduma zifuatazo:-
1. Wanaotaka kuanzisha kituo cha radio, tunatoa huduma zote ikiwemo kuandika maandiko ya uombaji wa leseni TCRA.
2. Tunauza vifaa vya radio kwa order (Transmitter, mixer, microphones, Hybrid Telephones, antenna, STL n.k)
3. Tunadesign studio za mazoezi kwenye vyuo vya unadishi wa habari kwa bei nafuu. 4. Kuandaa ratiba za vipindi vya radio (scheduling&Planning)
5. Media Research
6. Kuandika maandiko (Business Plan, Strategic Plan, Editorial Policy, Feasibility Study n.k)
7. Tunatoa mafunzo mbalimbali (Uandaaji wa vipindi, Management, Marketing, ICT for radio, Internet Radio, Journalism n.k)
8. Tunachuo cha media pia www.dmctanzania.org. Kwa huduma zaidi fika ofisini kwetu Nanenane Mbeya, jengo la Chai (RSTGA) au tupigie simu namba 0768188429 au 0759307280 au tuandikie email: consultancy@radiotz.com zaidi tembelea www.radiotz.com Facebook: www.facebook.com/radiotz

1 comment:

Maoni yako