September 21, 2017

SERIKALI IMEKATA RUFAA KATIKA KESI ILIYOSHINDWA YA UMRI WA MTOTO WA KIKE KUOELEWA



DAR: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imekata rufaa kesi iliyoshindwa mwaka Jana Baada ya Rebecca Gyumi Mkurugenzi wa Taasisi ya Msichana Initiative kufungua kesi ya Kupinga Ndoa za umri mdogo.

Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inaruhusu mtoto wa kike kuelewa akiwa na miaka 14. Rebecca Gyumi alifungua kesi hiyo Mwaka Jana kupiga sheria hii Kandamizi dhidi ya watoto wa kike walio chini ya umri wa miaka 18 kuolewa kwani wanakosa fursa ya kupata elimu

Mwaka jana Mahakama Kuu ilitoa amri Kwamba Serikali ipeleke mswaada Bungeni kuondoa sheria hiyo, Kinyume chake Serikali imefungua rufaa kupinga Uamuzi huo ikitaka sheria hiyo iendelee kuwepo ili watoto wenye umri chini ya miaka 18 waolewe kama wenye zaidi ya miaka 18

Ndimi,
Ndahani N. Mwenda

1 comment:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159

    ReplyDelete

Maoni yako