October 04, 2017

KAMERA YETU NORWAY



Furahisha macho kwa vipawa walivyo navyo wenzetu. Hapo ni Norway kwenye bahari ya Atlantic ambapo walijenga barabara kukatiza bahari kuunganisha miji iliyoko visiwani kwenye eneo la bahari. Kwa kuisoma zaidi tafuta Google. Atlantic way in Norway utaiona. Ila nilipata bahati ya kuzuru eneo hili wiki chache zilizopita nikiwa kwenye mkutano huku mwezi uliopita.

PICHA KWA HISANI YA BENJAMIN MBEZI

No comments:

Post a Comment

Maoni yako