October 18, 2017

SABUNI ZA MAWESE MWANGA, KIGOMA

Wachuuzi wa sabuni maarufu Kigoma ambazo hutengenezwa kwa malighafi ya Mawese. Sabuni zina wateja sana. Mfano maeneo ya Dar es salaam kama mtu atabahatika kuwa na mtaji halafu akasambaza hata kwa wale wenye maduka ya jumla atapata fedha. Hii bidhaa nzuri sana.
 

No comments:

Post a Comment

Maoni yako