August 29, 2007

Mtabaki Na Labda Hivyo Hivyo

Hivi mbona watu hatujui siku zetu zilivyo hapa duniani?mbona kila raia ana hamu za kijinga hivyo?.

Utakuta kiongozi anahutubia raia wake huku akijifanya anauchungu na hali zao ngumu kumbe anaomba apewe nafasi ampeleke kimada wake ughaibuni kwenda kuzubaa na kushangaa shangaa na kuzunguka kama tiara.halafu akirejea anakuta raia wake wanazidi kuteketea na hali ngumu ya maisha,mwishowe nabaki na labda mungu,labda mizuka na nini uji**** mwingi tu.

Kujali maisha ya wengine hakuhitaji gharama au kuwa tajiri na kumiliki kampuni kama mabwanyenye au mabepari uchwara.hakuhitaji kuwa na mapesa mengi ambayo haywezi kukufanya kama ulivyo.
hivi labda sijui,huenda...m.k hazitaisha bila kutumia muda wetu kupanga huruma na raha kwa wengine.