June 20, 2008

Kuipenda Kazi Ndiyo Msingi Wa Maendeleo

Sema unaloweza lakini kwetu nyasa hapa hakuna swala la kulalamika kwamba hakuna ajira kama hao watu wa mjini.Nani atakufundisha kupenda kazi yako kama huijali na kuiheshimu.Mwangalie anavyotoa msuli wa kujituma katika kazi.Hii picha imenikuna sana,nimetabasamu sana wakati naweka kwani kuna jamaa hapa anachungulia ninavyoandika na kuiweka anashindwa kuniuliza.Lakini akiuliza tu nitamwambia amesahau kama yupo nyasa nini?Niseme nini jamani......

2 comments:

  1. Anonymous20 June, 2008

    hata mie mpaka nimezimia hiyo misuri. Sijui nipeleke maombi mh .....

    ReplyDelete
  2. Anonymous22 June, 2008

    yaani huyu jamaa anajituma hadi naona kama anataka kuvunjika kiuno ebu muangalie mbona kimepindasna.hivi hawezi kuanguka hapo eti jamani

    ReplyDelete

Maoni yako