June 05, 2008
Lizombe Limeumana hapa utasema nini
Usistaajabu kwani nimeondoka kidogo nyasa na kuingia mjini hapa na kukutana na picha hii muhimu sana kwa watu wa Ruvuma na wanyasa wote.Sina mengi ila tumshukuru kaka Richard Mwakienda kwa picha hii
Madhumuni
Hisia za moyo,
mila na desturi,
uzuri
WASIFU: Mwandishi wa Habari,Tawasifu,Mhariri na Mchambuzi wa Vitabu,Siasa, Utamaduni, Michezo,Afrika, Kimataifa,Mshauri wa Habari na Mikakati. TUWASILIANE: mawazoni15@gmail.com, lundunyasa@yahoo.com. WHATSAPP; +255 719226293/SMS; +255 764 936655
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hapa bwana ndio umenifikisha kwani binafsi napenda sana ngoma za asili na pia hivi nisemavyo ninamsikiliza ndugu yetu bwana Adelgot J Haule nadhani unamjua safi sana. nipe habari zaidi za Ruvuma
ReplyDelete