July 28, 2008

umewahi kufika kijiji cha Mkili......

kama hujawahi basi hapa ni pale kijijini mkili,pale penye bandari ya meli yetu ya Mv songea.Pale mahali pana sifa moja ya mawimbi makali nyakati za masika.Yanaitwa Lulenga,basi nakumbuka mwaka 1999 mwezi januari nikiwa nakwenda shule pale lundo.Meli Mv Iringa ilipigwa mawimbi pale bandarini hadi nahodha Mzee Mwaisunga akasema inabidi kuiondoa meli kabla mawimbi hayajaharibu zaidi.Pia ziwa nyasa lina sifa kuu ya dhoruba kali,mfano Wasiozoea hawapendi kusafiri kutumia meli kipindi hiki hutumia magari shauri ya dhoruba.kaa chonjo kipindi hiki.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako