September 15, 2008

wamatengo hamuyambuyambu kanono?


jamani wamatengo hamuyambuyambu? maana naona milima yenu imependeza kwelikweli, vipi mmeumbawenyewe nini? mimi leo nawaslimia tu hamuyambuyambu akina fulani huko Mbinga na kwingineko, mateka,kiyangamahuka,nyoni,ndengu na huko maguu?

2 comments:

  1. entwe hatujambojambo chipepo akanono. mbekya libulangeti na chai ya kahawa

    ReplyDelete
  2. mimi nipo hapa Kihangamahuka karibu tule ugali na maharage lakini utakapokuja uje na umbe pia samaki yaani zile embe sindano na unga wa muhogo.

    ReplyDelete

Maoni yako