October 31, 2008

Je mungu alituumba majuha?

hivi kweli mungu alituumba waafrika kuwa majuha? soma hapa www.raiamwema.co.tz katika safu ya fikra mbadala ya Mwanafalsafa Ayoub Rioba. Namwita Mwanafalsafa kwa vigezo vyangu kwani ni muumini wa fikra zake kama ilivyo kwa Jenerali Ulimwengu na wengine

1 comment:

  1. mwaogopa nini kusema kama kweli mugu alituumba majuha kwani mambo yetu holela tu

    ReplyDelete

Maoni yako