December 10, 2008

kwa kweli nakupenda sana

nina HAMU ndiyo maana nakambia nakupenda sana NYASA. Gego na Fizi zinakupenda sababu ya utamu. angalia picha hiyo kwa umakini halafu niambie kama hutamani kweli!!! mmm nakupenda saaaaaana nyasaaaaaaa. karibuni

3 comments:

  1. maumivu bado yanaendelea! hujasalimu amri tu?? ha ha ha ha ha na bado hii ni moja kati ya maumivu makali ya kichwa yaani steringi anakufa picha ndiyo inaanza. ha ha ha ha ha ha mwenga soni kumihu kyani wenga nikudagadesa sana veve! ha ha ha ha ha

    ReplyDelete
  2. Jamani watu hawana huruma. Kupeana HAMU kiasi hiki we ngoja tu.

    ReplyDelete
  3. na bado kazi inaendelea. ha ha ha ha ha mwenga huruma lakini hapana

    ReplyDelete

Maoni yako