December 16, 2008

yote maisha+ipo siku yatakwisha.....

karibu sana wala usiogope ndugu, karibu nyumbani maskani wala usitie shaka. hapa ndiyo nyumbani karibu sana

3 comments:

  1. Ahsante nakaribia,
    Nyumbani pametulia,
    Huwa na amani pia,
    Sote tunafurahia,
    Nyumbani ndipo nyumbani!

    ReplyDelete
  2. ni kweli kabisa ndongu vangu nibwela kunyumba nga kunyumba hata kukavyai kudahi. je kuna ugali wa muhogo na samaki bila hivyo itakuwa kazi kweli.

    ReplyDelete
  3. Fadhy, mwanamalenga
    wanipa harara
    shairi kuandika
    aghalabu,si haba
    elimu patia
    fungo lako li' minguni
    asilani,mola akupe hekima


    jamani najaribu ingawa natamani, lakini nitajua tu

    ReplyDelete

Maoni yako