January 08, 2010

USIONE VYAELEA...................


Sifa ya kwanza kula ndugu yangu, usisifiwe kwa kuongea. Utaongea kwa umahiri kama hujashiba? Utafanyaje kazi na iwe bora kama hujashiba? Ukitaka kusoma falsafa lazima ushibe, huwezi kusoma mistari ya MALCOLM X kama hujashiba vinginevyo utakimbilia kwa mbembelezaji Martin Luther King Jr. Unashiba halafu unakamata mistari ya Malcolm X halafu unapandisha mzuka sawia. Usione vyaelea................
na ukisiba soma mistari yangu KUHUSU UTATA WA WILLIAM SHAKESPEARE hapa

5 comments:

  1. Mwenga kyani henu kuninogesa nahaaaaaaaa mawu yoyoyoyoyooooooo.

    ReplyDelete
  2. Ahsante kwa kutembelea kibaraza changu. Karibu tena na tena

    ReplyDelete
  3. Menu kubwa hii Mkuu! mie fulu kutoka udenda!:-(

    ReplyDelete
  4. kaka simon najua hapo sijaweka BIA

    ReplyDelete

Maoni yako