October 22, 2012

MGANDA LIULI

Mganda ni moja ya ngoma zinazopendwa sana katika wilaya ya Nyasa. mganda ni sehemu ya ushirikiano wa kijamii kwani hutumika kuwaunganisha na kufurahia utamaduni wetu. 
Hapo ni boma la Mganda la Liuli wakati wa sherehe za kila mwaka za mganda katika vijiji mbalimbali.

Picha na James Zotto, UDSM

1 comment:

Maoni yako