January 29, 2013

WATOTO/VIJANA WASOMAO NJE YA NCHI



Haika Lawere
Na Haika Lawere, via Facebook

Huwa nawatazama wazazi wengi hapa Tz wanavyojinyima usiku na mchana ili kupata ada kuwalipia watoto wao school fees uko nje eg USA/UK,India,Malysia,SA nk nk,wengine huiba ktk ofisi zao ili tu mtoto asome,wengine watauza properties ili mtoto ailimike,wengine hukopa,wengine hata maendeleo binafis yana simama ili vijana wasome!!! 
ila sasa...huko waliko hawa watoto,baadhi yao hawasomi,wengine huishia kuzaa na foreigners ili kupata papers,wengine hu-cohabitate na strangers ili kupata unafuu wa kodi,wengine ni mwaka wa 10 na zaidi hata Certificat/Diploma hawana hata darasa hawajawahi kuingia!!wingine wameshajilipua hata wazazi wakiumwa/kufa hawaji kuwaona!!
Wengine huaribikiwa kabissaaa kitabia/ kiakili/ki-mtazamo na wanakuwa hawa-fit mazingira ya uku!!mi niwasihi tu wadogo zetu ambao wazazi wenu wana-sacrifice kuwasomesheni nje muwe apprecitive,waoneeni wazazi wenu huruma wanavyoteseka,bongo pagumu jamani!! someni na muelimike na mkimaliza shule, ni vizuri mkarudi kutumikia nchi yenu,jamii yenu na kuwatunza wazazi wenu hapo watakapozeeka!!!msizamie nchi za watu wakati kwenu kuna-oppoturnities chungu-mzima!!!simhukumu mtu,ni mtazamo tu anyone can challenge!!

2 comments:

  1. Jamani si kila mtanzania aliyekuwa US au Europe , ambaye amezaa na Foreigners ni kwa ajili anataka makaratasi. au mtu ana cohabitate na mzungu ni kwa ajili hiyo . si kila mtu anafanya hivyo. Huwa ninachukia sana watu wanaposema hivyo .

    ReplyDelete
  2. Huko Tanzani kuna oppurtunity gani ? . Ndugu yangu amemaliza chuo kikuu lakini hajapata kazi , kwa sababu hakuna mtu anayemfahamu ambaye atamsaidia kupata kazi , Anahangai kila siku . sasa acha kudanganya watu na kusema warudi nyumbani.

    ReplyDelete

Maoni yako