January 29, 2014

MBINGA ANGAVU SASA, UCHUMI KUNG'AA

Na Mwandishi Wetu, Mbinga

Huo ni mwonekano wa barabara itokayo Songea kuelea wilayani Mbinga kama inavyoonekana picha.Barabara hii kwa miaka mingi ilikuwa imetengenezwa kwa kiwango cha kawaida, lakini sasa imefikia kiwango cha Lami. 

Kutengenezwa bara hii ni ishara kuwa mabadiliko ya kiuchumi yanatarajiwa kutokea zaidi wilani Mbinga ikiwa ni sehemu ya mpango wa ujenzi wa barabara ya kutoka Songea hadi Mbamba Bay. 

Shughuli za uchumi hukua kutokana na ujenzi wa miundo mbinu kama barabara ambayo zamani ilisababisha mji wa Mbinga kuwa nyuma kimaendeleo na pia maendeleo yalikuwa yanakua polepol. 

Sasa tunaweza kusema Mbainga ni angavu na mwelekeo wake ni mpana zaidi kiuchumi, ikukumbukwa kuna viwanda vya KAHAWA ambavyo husaidia kuajiri watu mbalimbali na kukuza vipato vyao.

KARIBUNI SANA MBINGA
Picha kwa hisani ya Maggid Mjengwa/Mjengwablog, 2014. 

No comments:

Post a Comment

Maoni yako