September 29, 2014

MBAHA KUNA UFUKWE MZURI KUVUTIA WATALII

Picha imepigwa na mdau wetu Hoops Kamanga. Eneo la Picha hii ni kijiji cha Mbaha katika tarafa ya Ruhuhu wiliya ya Nyasa.
Kiji cha Mbaha ni moja ya miji iliyojaliwa fukwe nzuri sana wilayani Nyasa. Ni maeneo ambayo bila shaka yanavutia watalii.
Karibuni wenyeji na wageni.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako