June 09, 2008

Hapa Kazi tu Hakuna Kuremba

Nakumbuka niliweka picha ya aina hii hapa bloguni.Lakini naona huu ni mwendelezo wa Wanyasa katika shughuli za kuinua uchumi wetu.Sifa ya kwanza ya wanyasa ni kazi,huwezi kuolewa kama mwanamke hujui kazi,mwanaume anakamilika kwa kuonyesha uwezo wa kufanya kazi.Wamo au unasemaje?

1 comment:

  1. Anonymous22 June, 2008

    mwanaume kazi bwana siyo uzuri wa sura.

    ReplyDelete

Maoni yako