Nakumbuka niliweka picha ya aina hii hapa bloguni.Lakini naona huu ni mwendelezo wa Wanyasa katika shughuli za kuinua uchumi wetu.Sifa ya kwanza ya wanyasa ni kazi,huwezi kuolewa kama mwanamke hujui kazi,mwanaume anakamilika kwa kuonyesha uwezo wa kufanya kazi.Wamo au unasemaje?
June 09, 2008
Hapa Kazi tu Hakuna Kuremba
Nakumbuka niliweka picha ya aina hii hapa bloguni.Lakini naona huu ni mwendelezo wa Wanyasa katika shughuli za kuinua uchumi wetu.Sifa ya kwanza ya wanyasa ni kazi,huwezi kuolewa kama mwanamke hujui kazi,mwanaume anakamilika kwa kuonyesha uwezo wa kufanya kazi.Wamo au unasemaje?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mwanaume kazi bwana siyo uzuri wa sura.
ReplyDelete