February 23, 2010

HUJAMSOMA 'SUN TZU' KAZI KWAKO

Nafuta jasho, lakini bado linatililika tu, nahaha huko na huko kwenye maduka rasmi na yale ya wamachinga kuona kama naweza kupata. Lakini sijakata tamaa naendelea kusaka, ili kujifaliji nikaamua kununu kijitabu kidogo cha 100 THINGS TO DO BEFORE YOU DIE, napitisha mistari yake kidogo lakini kiu yangu ni kusaka kitabu cha SUN TZU cha THE ART OF WAR, ghafla najikuta nipo mitaaya Samora, naingia dukani natumbua mimacho kama nimebanwa na mlango, ..... na sasa najisikia fahari kwa raha najisomea aya kali na nadharia maridadi za huyu mtu. We acha tu THE ART OF WAR ni zaidi ya burudani waungwana.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako