Hivi unajifunza nini unapotazama picha kama hii.Kuna lolote unalojifunza?Niambie wewe unayeiangalia mimi sijui.Lakini jiulize wale wezi walioongozwa na yule jamaa anamvi anatoka mondulini...au monduli nini sijui.Jikomboe sasa
July 07, 2008
Nashindwa kusema Labda nitakosea
Hivi unajifunza nini unapotazama picha kama hii.Kuna lolote unalojifunza?Niambie wewe unayeiangalia mimi sijui.Lakini jiulize wale wezi walioongozwa na yule jamaa anamvi anatoka mondulini...au monduli nini sijui.Jikomboe sasa
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
zana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
inawezekana ni ungonini na mwamume wa kingoni aliyeelimia anamsaidia mkewa kuokota kuni pia shamba nzuri la mahindi na matembele au
ReplyDeleteMimi nimejifunza kwamba hiyo ardhi ina opportunity kubwa sana kwenye kilimo kwa maana kwamba ikitumiwa vizuri basi mtu unaweza kustawisha mazao hasa mahindi kwa kiwango cha ajabu.
ReplyDeleteTatizo serikali yetu inaongea na kuchonga tu bila vitendo, umaskini tulionao hatustahili.