Showing posts with label ajali. Show all posts
Showing posts with label ajali. Show all posts

September 22, 2017

BASI LA KISUMAPAI LAPATA AJALI NANGOMBO





Basi la kampuni ya Kisumapai lenye namba za usajili T 606 CTY   linalofanya safari zake  kutoka Songea kwenda Mbamba Bay, Liuli hadi Mango wilayani Nyasa limepata ajali mapema leo katika kijiji cha Nangombo wakati likitokea Songea kuelekea Mbamba Bay.
Taarifa inasema kuwa abiria wanne wamefariki dunia kutokana na ajali hiyo, huku wengine wakiwa wamejeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali ya Mbamba Bay.

January 05, 2013

HATUA KWA HATUA YA AJALI YA BUS LA NEWFORCE ILIYOTOKEA NYORORO-IRINGA KAMA ILIVYOSHUHUDIWA NA EGBERT JEREMY


Kama inavyoonekana pichani bus la NewForce likiwa limepinduka kijiji cha nyororo mkoani Iringa

Mizigo ikitolewa ndani ya Bus baada ya kupinduka
Mashuhuda wa ajali hiyo.

Mwanamke anaonekana kwa mbali hapo akiwa ameanguka kutokana na bus kupinduka hivyo kukosa mwelekeo wa kujiokoa. 
Bus la NewForce likivutwa ili likae sawa barabarani baada ya ajali.