ninakumbuka enzi zile tukilima mpunga, ekari kibao na shangazi yangu pale Ngindo, yaani ilikuwa tka asubuhi saa moja hadi saa kumi na moja jioni. Duuh kwa mwendo wa kuchoka na kulegea kila kitu. nipumue siku hizi huuuuuuuuuuuuuuuuuu nalima kwa kompyuta
December 24, 2008
kazi+kumbukumbu
ninakumbuka enzi zile tukilima mpunga, ekari kibao na shangazi yangu pale Ngindo, yaani ilikuwa tka asubuhi saa moja hadi saa kumi na moja jioni. Duuh kwa mwendo wa kuchoka na kulegea kila kitu. nipumue siku hizi huuuuuuuuuuuuuuuuuu nalima kwa kompyuta
Madhumuni
kumbukumbu,
mila na desturi,
Nyasa,
zana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
aise huko mliko inaonekana mnalima kila kitu vipi kuhusu smaki nchanga hakuna?
ReplyDelete